Breaking News

MAHER ZAIN, MUIMBAJI WA NASHEED.

Maher Zain

Maher Zain
Maher Zain at Tuisa charity concert Essen Germany 2012.jpg
Maelezo ya awali
Amezaliwa16 Julai 1981 (umri 36)
Tripoli, Lebanoni
Aina ya muzikiNasheed, pop
Kazi yakeMwimbajiMtunzi
AlaSautiPianoGitaa, Keyboards
Miaka ya kazi2009–
StudioAwakening Records
Tovutihttps://www.facebook.com/MaherZain
Maher Zain (Kiarabuماهر زين‎ ; amezaliwa tar. 16 Julai1981[1] mjini TripoliLebanon) ni mwimbaji wa Kiislamu-R&B kutoka nchini Uswidi/. Pia ni mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki vilevile. Asili yake ni Lebanoni. Alitoa albamu yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la Thank You Allah, albamu iliyotamba kimataifa na yenye mafanikio na vilevile ina athira ya dini ya Kiislamu, mnamo 2009. Akatoa albamu yake ya pili Forgive Me mnamo tar. 2 Aprili, 2012.

Hakuna maoni